Sunday, 21 September 2014

HABARI MOTO: SAKATA LA IPTL NA ESCROW KAFULILA AANZA KUUMBUK...

HABARI MOTO: SAKATA LA IPTL NA ESCROW KAFULILA AANZA KUUMBUK...: IPTL yang’ara  A/Mashariki Sasa kusambaza umeme MW 2000 Kenya  Kafulila aumbuka kwa kusema Sethi Hatakiwi Kenya                ka...

Tuesday, 16 September 2014

SAKATA LA IPTL NA ESCROW CAG ANATUMIKA VIBAYA








Katika hali isoyotarajiwa na wengi, hivi sasa imejidhirisha wazi kwamba CAG anatumika kisiasa ili kuandaa ripoti ambayo itawafuraisha wapinzani wa kibiashara wa IPTL. 

Taarifa tulizonazo ni kwamba CAG amekuwa akiandaa ripoti ya ukaguzi wake huku akiwa bega kwa bega na wale waliyoshiriki kulilalamikia swala hili ambao ni KAFULILA&CO.

Mpaka hadi sasa haijulikani anatumika kwa maslahi ya nani?

Nikweli kwamba CAG hana mahusiano mazuri na baadhi ya maafisa wa serekali,je kuna haja ya kutumika kuwahujumu IPTL na serekali?

kwa nini alazimeshe kusema mchakato ESCROW ni wakifisadi wakati watu wamelipwa hela zao baada ya kuuza umeme TANESCO?

Je walitaka umeme uchukuliwe bure?

Au IPTL ni mjomba wa TANESCO mpaka iwe hivyo?

Naomba kuwasirisha kwa masikitiko makubwa

Saturday, 13 September 2014

MBUNGE WA MPENDAE AIDHARIRISHA CHADEMA MBELE YA AFISA MWANDAMIZI WA POLISI



 Mbunge wa jimbo la Mpendae CCM Salim Turki amekidharirisha, kukifedhehesha, na kukitukana Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA na kusema kwamba ni chama cha watu wasio na akili ,wasio na misingi na kwamba CCM inaweza kuwafanya lolote na wasifanye kitu.

Mbunge huyo amewadharirisha CHADEMA mbele ya kikao cha usuluhishi baina ya Upande wao na wenzao kilichofanyika Central polisi hivi karibuni,mbele ya Maafisa waandamizi wa polisi,ambapo aliitwa pamoja na upande wa pili ambao wanaopingana kujadili namna ya kutatua mgogoro wao.

Aliwafananisha anaopingana nao sawa na CCM wanavyowanyanyasa CHADEMA bungeni na kwamba sauti yao haina pa kusikika na wasio na lolote wala chochote.
Hii ni dharau kubwa kufanywa na Mbunge kwa CHADEMA.

CHADEMA MPOOO!

ONA VIDEO HII






 SOURCE YA HABARI NI JAMII FORUM


http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/723612-mbunge-turki-wa-mpendae-aidharirisha-chadema.html#post10586291