Saturday, 13 September 2014

MBUNGE WA MPENDAE AIDHARIRISHA CHADEMA MBELE YA AFISA MWANDAMIZI WA POLISI



 Mbunge wa jimbo la Mpendae CCM Salim Turki amekidharirisha, kukifedhehesha, na kukitukana Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA na kusema kwamba ni chama cha watu wasio na akili ,wasio na misingi na kwamba CCM inaweza kuwafanya lolote na wasifanye kitu.

Mbunge huyo amewadharirisha CHADEMA mbele ya kikao cha usuluhishi baina ya Upande wao na wenzao kilichofanyika Central polisi hivi karibuni,mbele ya Maafisa waandamizi wa polisi,ambapo aliitwa pamoja na upande wa pili ambao wanaopingana kujadili namna ya kutatua mgogoro wao.

Aliwafananisha anaopingana nao sawa na CCM wanavyowanyanyasa CHADEMA bungeni na kwamba sauti yao haina pa kusikika na wasio na lolote wala chochote.
Hii ni dharau kubwa kufanywa na Mbunge kwa CHADEMA.

CHADEMA MPOOO!

ONA VIDEO HII






 SOURCE YA HABARI NI JAMII FORUM


http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/723612-mbunge-turki-wa-mpendae-aidharirisha-chadema.html#post10586291


No comments:

Post a Comment